Tuesday, April 30, 2013

KATUNI YA LEO

MWANAFUNZI CHUO CHA UALIMU KIGOMA AIBUKA NA MILIONI 100

  Mkuu wa kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa akiongea kwa simu na Mshindi wa Droo ya mwishi ya “MAHELA “Bw.Valelian Nickodemus(22) wa Mkoa wa Kigoma aliyejishindia shilingi Milioni 100.
MSHINDI WA MILIONI 100 APATIKANA Hatimaye Mshindi wa Milioni 100 wa Promosheni ya Vodacom Mahela amepatikana ikishuhudia Mwanafunzi chuo cha Ualimu cha Mkoani Kigoma Bw.Valelian Nickodemus(22) akiibuka  mshindi kupitia droo kubwa iliyochezeshwa  leo jumatatu.
Mshindi huyo amepatikana miongoni mwa mamilioni ya washiriki walioshiriki kucheza katika promosheni hiyo, Katika mahojiano yaliyofanyika kwa njia ya simu Mshindi huyo ameishukuru kampuni ya Vodacom kwa kumuwezesha kushinda kiasi hiko kwani hayakuwa mategemeo yake katika maisha yake.
"Watu wengi hawakuwa wanaamini kuwa Promosheni hizi ni za kweli, Sikuwa na pesa ya kucheza moja kwa moja katika Promosheni hii ila nilipotumiwa pesa ya matumizi na mzee niliamua kuweka na kushiriki katika Promosheni hii, Hakika nimefurahi sana na ninawashukuru Vodacom, alisema Nickodemus.
Kwa upande wake mkuu wa kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa amewapongeza Wateja wa mtandao huo kwa kushiriki katika promosheni hiyo na kumpongeza kwa upekee mshindi wa Promosheni hiyo na kujinasibu kuwa anajivunia mafanikio ambayo Promosheni hiyo imeyapata kwa kufanikiwa kubadili maisha ya mamia ya Watanzania.
"Sisi kama Vodacom tumefurahi kwa kumpata mshindi wetu wa mwisho ambaye ameibuka kidedea kati ya Mamilioni ya Watanzania lazima tukiri kuwa ni bahati kubwa na tunatoa pongezi za kipekee kwa mshindi wetu, alisema Twissa na kuongeza kuwa\ "Zaidi ya yote tunajivunia kwa upekee kabisa namna ambavyo promosheni hii imebadilisha mamia ya maisha ya Watanzania, Tumepata washindi kutoka katika Nyanja mbalimbali wakiwemo wakulima, wafanya biashara ndogondogo wanafunzi pamoja na wastaafu wengi ambao nao wameendelea kuboresha maisha yao.
Tangu Promosheni ya MAHELA kuzinduliwa tarehe 24 Mwezi wa kwanza na washindi 333 wamepatikana  na kushuhudia kiasi cha Shilingi milioni 480 zikitolewa hadi sasa.

Tips to help you smell good always


PHOTO | FILE Mind your diet. What you eat will always determine how your sweat smells.
MIND YOUR DIET
In the quest for beauty we sometimes overlook the obvious: like how we smell. Other people seem to tell long before we do and often won’t say so because they don’t know how to tell you that you smell. They think it will offend you! In the absence of such critical feedback – or if you live too far from your mother – here is a guideline to help you sniff yourself out.
1. Diet
Do you eat a lot of garlic, onions or strong, pungent curries? If you do, it emerges from your pores. When you work out or you are in the sun, the pungent smell of garlic will erupt. And it will be enough to scare off vampires. You’ll also burp it. This is why they invented odourless garlic pills.
But garlic is a superfood so don’t bump it off just yet. Blend it with other ingredients when you cook to tone it down and have mint and parsley on the ready.
Post-garlic feasting, freshen your breath and drink a lot of water. Sometimes your sweat clings to scents because you are dehydrated. Water’s detoxification qualities are not a myth.
2. Mouth
Most people assume their breath should stink in the morning. Good oral hygiene demands that you brush your teeth twice a day – morning and before bed. At night, floss and brush your tongue. You’ll notice that the next morning you can stand to be in your own mouth. During the day, it’s hard to tell if your breath is off by simply existing.
As a rule, here are a few instances where your breath is likely to be, well, gritty. An hour or three after lunch, if you skipped lunch, when you’re thirsty, if your tongue feels sticky and your mouth tastes bad, if you don’t normally brush your tongue, if you don’t floss.
Good dental hygiene should take care of this. To test your own breathe go to the bathroom and lick the back of your hand. I would say do this discreetly but most people are self-conscious about such things. Let your saliva dry and sniff your hand. That’s a truer test than puffing your breath on a cupped palm.
3. Armpits
Once your armpits get moist, bacteria come out to play. The drying of the moisture means air has come into contact with your skin. You will then emit a scent.
The degree varies for individuals. To tell if your armpits are pungent do this: Today evening after you have showered, had dinner and played with the baby or watched two episodes of Scandal, sniff at what you’ve been wearing all day. You’ll know. Also, if the armpits of your clothes tend to be stained or moist, chances are you need a deodorant/anti-perspirant.
Also, shave your armpits.
If underarm care products are not your thing get a nice, big bottle of apple cider vinegar (ACV) and a thick wad of cotton wool. Dab ACV on a strip of cottonwool and swipe your pits morning, noon and night with concentrated vinegar. It neutralises the odour rather than mask it.
4. Body
If you are sporty, athletic or physically active, you’ll need to pre-empt your scent. Athletic people can in a manner of speaking be oblivious to sweating. Being used to so much movement, a little sweat is nothing compared to when they get down and dirty. Use an anti-perspirant/ deodorant.
Also, if you tend to sweat a lot, and you’ll know if you do because you’ll notice other people don’t seem to fan themselves as much or mention being overheated, chances are you sweat a lot. Check your cleavage, underneath your breasts, lower back, any place your skin folds such as your neck and the backs of your knees. If your clothes are 
generally moist in these sections, you tend to sweat profusely. Use talcum powder on such places.
If it is your feet, keep them dry and clean, change socks every single day, air your shoes (yes, you should have more than two pairs!) and sprinkle your feet with foot powder. Inane remedies have included soaking your feet in urine. Finally, and this is not meant to be hurtful, obese people retain dirt under their folds and have been known to 
5. Medication
Certain prescription medications such as anti-depressants are known to alter your body’s internal chemicals. In fact, if you are on any medication that tends to leave your mouth dry or with a metallic taste, a category that includes a host of antibiotics, chances are it will affect your body odour.
Drink more water, fluids, herbal teas and natural juices. The idea isn’t so that you smell like green tea or chamomile, but rather, to allow your body to better absorb the medication so that you are not left with its concentrated aftermath. Consider taking probiotics to reset your system.
6. Hair
If two weeks have lapsed and you have not washed your hair, it has an odour. Whether good or bad depends on how much you sweat with the added value of product build up. Most women “sanitise” their scalp with antiseptic or spirit to eliminate the smell. Some rinse with ACV in between shampoos. Some just wash their hair.
Whether your hair is in braids, weave or open, good hair hygiene helps you take care of scalp. There is no rule as to how frequently hair should be washed. It is about personal preference. So long as you note that smelly hair well, smells.
7. Others
Ideally, if you shower and brush your teeth daily and wear clean clothes, you should be fine. If you do all the above and still smell, you might have an underlying medical condition such as halitosis, a yeast or bacterial infection.

Monday, April 29, 2013

KATUNI YA LEO

http://3.bp.blogspot.com/-luy74xntiYo/UStAJ3OEC6I/AAAAAAAABso/QZoIXUPogdw/s1600/Katuni+Feb+24.jpg

Beyonce Debuts New Song “Standing on the Sun” in Sun-Kissed H&M Commercial.

Beyonce is revealing a bit of a pattern when it comes to releasing new music for her upcoming fifth studio album: Tie teaser material in with big-budget, big-brand commercials.
Beyonce unveiled her brand-new H&M commercial showing off her new collection with the store recently, and in the video, Beyonce shows off her amazing bikini body while her new song “Standing on the Sun” plays. It’s like a mini-music video that acts sort of like a 2013 update to her 2003 single “Baby Boy.”
Beyonce sports bikinis, flowy garments, mini-dresses and bathing suit cover-ups for the affordable fashion company and alternates between rocking blonde and black hair.
This isn’t the first time Beyonce has debuted new music for this album in a commercial this era. Fans first heard her song “Grown Woman in her “Mirrors” Pepsi commercial.
So if fans are eager to hear new music from Beyonce, their best bet may be to look at upcoming product launches or campaigns involving the R&B diva.

Man Who Had Sex with His Dogs Gets 15-Year Jail Sentence.

A man from Michigan recently found out he was facing up to 15 years in prison after he was convicted of raping with two of his pet dogs on two separate occasions. The same (unfortunate) person caught him both times.
According to Michigan Live News, 37-year-old Kurtis Peterson, a convicted sex offender, was first caught “penetrating” one of his dogs — a bluee heeler — by a woman named Joyce Yeaw at his apartment in Muskegon, Mich. on his bed in April 2012.
At the time, Peterson told her he was “just hugging his dog.” (Right…) But he was busted again by Joyce just two months later when she was returning keys she borrowed from his roommate, and she walked in on him having sex with his pit bull.
This time she called the cops (honestly she should have called them the first time…) and Peterson was arrested. Yeaw said, “He was having sex with the dog, it was disgusting.”
When Peterson was questioned by police, he claimed he was “just playing with the dog” in the April incident, but he became “sexually aroused from accidental contact from the animal’s rear,” which led to the later assault.
It isn’t known whether Peterson sexually assaulted his pets on other occasions, but he was convicted of fourth-degree criminal sexual conduct in 1996 in another Michigan county, so yeah … he probably did. The sick bastard.
Back in March, Peterson pleaded no contest to “the abominable and detestable crime against nature,” also known as sodomy or bestiality, and on Monday (Apr 22), he was handed a one to fifteen year prison term by 14th Circuit Judge Timothy Hicks.
Judge Hicks said that he went above and beyond state guidelines in his ruling because “I fear for what he might do in the community,” and also, Peterson hasn’t been adjusting well to life in jail.
Hicks said since Peterson’s been in jail, “there have been many complaints of unwanted and inappropriate touching,” which literally proves his point.
Source: Gossiponthis.com

Red Carpet Swagga @ Bongo Black Ball - celebrating Tanzanian Music held at Mlimani City Dar.



Mwenyekiti wa Tanzania Mitindo House (TMH) Khadija Mwanamboka (kushoto) ambaye pia ndio Mwandaaji wa Bongo Black Ball Party iliyobeba Theme " Celebrating Tanzania Music" kupitia kampuni yake ya Vitu vya Khadija Events & Clothing akiwa na wadau mbalimbali kwenye mnuso wa nguvu uliowakutanisha Masupastaa wa Bongo wadau waliopo kwenye Fashion Industry katika usiku uliopambwa na msanii Mkongwe wa muziki nchini King Kiki a.k.a mzee wa kitambaa cheupe pamoja na burudani kutoka kwa wasanii wa Bongo Flava Linex na Mwasiti. Pichani Bi. Khadija Mwanamboka akiwa na wageni mbalimbali kwenye Red Carpet ndani ya Ukumbi wa Mlimani City.
Designer Ally Rehmtullah ndani ya nyumba.
Blogger Missi Popular aliwakilisha kikazi zaidi.

Gyver Meena and Salma Msangi a.k.a Kimora Lee looking Gorgeous (I think these two Girls rock the night).
Mama Mia....Wow.....!

Rais Kikwete,Pierre Nkurunzinza na Uhuru Kenyatta wakiaga Arusha leo

8E9U0992

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi na Rais Mpya wa Kenya Uhuru Kenyatta wakiwaaga wajumbe waliohudhuria mkutano wa Wakuu wa  nchi za Jumuiya ya Umoja wa Afrika ya Mashariki uliofanyika katika hoteli ya Ngurdoto jijini Arusha leo(picha na Freddy Maro)

 

 

 


Saturday, April 27, 2013

SUAREZ AKIRI KOSA NA AMEKATAA KUKATA RUFAA

Nyota wa wekundu wa Anfield Liverpool Luis Suarez amethibitisha kuwa hatakata rufaa kupinga hukumu yake ya kusimamishwa kucheza mechi 10 kwa kosa la kumng`ata kwa meno beki wa Chelsea Branislav Ivanovic, lakini amekiri kukosea na atabadili tabia nje ya uwanja.
Suarez amesema, “Kiukweli nawaomba radhi sana kwa kitendo kile, watu wote niliowaudhi pale Anfield siku hiyo nawaomba wanisamehe sana, lakini kibinafsi namuomba tena msamaha Ivonovic kwa kitendo kile”.
Nyota huyo alisema mambo yote yaliyompata huko England yatamsaidia kubadili tabia yake na kuanzia sasa anataka kujikita kubadili tabia yake na kuwa mchezaji mzuri uwanjani.
All smiles: Suarez was in a cheery mood in training today before his apology appeared on his twitterWakitabasamu: Suarez alionekana mwenye furaha kubwa katika mazoezi ya leo jioni kabla ya kuomba msamaha katika mtandao wake wa Twita.
Suarez aliendelea kueleza kuwa hataki kupotosha ukweli wa kitendo kile kwa kukata rufaa bali amekubali makosa na atatumikia adhabu hiyo kwa moyo mmoja.
Tweet
Suarez

Friday, April 26, 2013

MIKEL RUFFINEL, Mwanamke mwenye makalio makubwa kuliko wote duniani

MWANAMA Mikel Ruffinelli mkazi wa Los Angeles, Marekani, amedhihirisha kuwa ndiye mwanamke mwenye ‘hips’ kubwa zaidi duniani akiwa na mzunguko wa zaidi ya futi 8. Mama huyu wa watoto wanne amekuwa akipata shida kupitisha umbile lake la inchi 100 kwenye mlango na anahitaji nafasi ya watu wawili kwenye ndege. Mikel mwenye umri wa miaka 39 anaendesha magari makubwa kwa vile mwili wake mwenye kilo 190 hauwezi kukaa kwenye magari madogo na anahitaji kiti chenye uimara wa ziada nyumbani.

MWANAMA Mikel Ruffinelli mkazi wa Los Angeles, Marekani, amedhihirisha kuwa ndiye mwanamke mwenye ‘hips’ kubwa zaidi duniani akiwa na mzunguko wa zaidi ya futi 8. Mama huyu wa watoto wanne amekuwa akipata shida kupitisha umbile lake la inchi 100 kwenye mlango na anahitaji nafasi ya watu wawili kwenye ndege. Mikel mwenye umri wa miaka 39 anaendesha magari makubwa kwa vile mwili wake mwenye kilo 190 hauwezi kukaa kwenye magari madogo na anahitaji kiti chenye uimara wa ziada nyumbani

Thursday, April 25, 2013

WANACHUO WA CHUO CHA UHASIBU ARUSHA WAMTIMUA MKUU WA MKOA

NI BAADA YA KIFO CHA MWANAFUNZI MWENZAO

Wanafunzi wa Chuo cha uhasibu Arusha jana wamemtimua mkuu wa mkoa wa Arusha na kumfanyia fujo kufuatia kwenda kuwatuliza wanafunzi hao baada ya kuanza kuandamana ili waweze kupata taarifa juu ya Umauti uliomkumba mwanafuzni mwenzao Siku ya Jumanne majira ya saa nne usiku katika Eneo la CDA njiro.
Henry Kago alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa pili katika Chuo cha Uhasibu aliuwawa usiku wa Jumanne na watu wasiojulikana hivyo wanafunzi hao walijikusanya na kuanza kuandamana kwa Lengo la kupata Taarifa juu ya Umauti uliuomkumba Mwenzao.

Wakiwa katika mipango ya kutaka kuandamana Mbunge wa Arusha Mjini Mh Godless Lema alifika chuoni hapo ilikutaka kujua matatizo yaliyowakumba wanafunzi wa chuo hicho na baadae kidogo ndipo alipofika Mkuu wa Mkoa wa Arusha na kuchafua hali ya hewa katika eneo la chuo hicho na hivyo kusababisha vurugu na fujo kwa mkuu wa mkoa huyo.

kutokana na hali hiyo Jeshi la Polisi lililazimika kutumia nguvu ikiwa pamoja na mabomu ya machozi ili kutuliza ghasia hizo zilizotokea maeneo ya chuo kutokana na uwepo wa Mbunge wa Mjini katika maeneo wanafunzi walipojikusanya kwa lengo la kuandamana kwa amani ili kupata taarifa,Mbunge huyo ameingia katika tuhuma za kuchochea vurugu na fujo chuoni hapo.




Kufuatia vurugu hizo uongozi wa chuo cha uhasibu Arusha kupitia kwa Naibu mkuu wa chuo taaluma Bw.Faraji Kasudi umetangaza kukifunga chuo kwa muda usiojulikana.

Borussia Dortmund yaikalisha Real Madrid goli 4 kwa 1


We've done it: Dortmund players celebrate with manager Jurgen Klopp

Vijana wa Dortmund wakishangilia pamoja na meneja wa timu hiyo  Jurgen Klopp










Real
Kiungo wa Real Madrid Christiano Ronaldo, akiwa anatoka nje ya uwanja bila kuamini yaliyotokea

The magic number: Lewandowski shows how many goals he's scored after his hat-trick
Aliyeingarisha Dortmund kwa kufunga magoli yote manne akishabikia goli la 3 huku akonesha ishara kwa vidole.

Wednesday, April 24, 2013

LUIS SUAREZ AFUNGIWA MIAKA 10; NI PIGO JUU YA PIGO KWA MAJOGOO WA JIJI

Mshambuliaji nyota wa Liverpool, Luis Suarez, leo amepewa Adhabu ya Kufungiwa kutocheza Mechi 10 na FA, Chama cha Soka England, kwa Kosa la kumng’ata meno Beki wa Chelsea, Branislav Ivanovic, kwenye Mechi kati ya Liverpool na Chelsea iliyochezwa Jumapili iliyopita.
Katika Mechi hiyo ambayo ilitoka 2-2, Refa Kevin Friend hakuliona tukio hilo lakini Ivanovic alilalamika kwa Refa na kumuonyesha mkono wake ulioumwa.
Mara baada ya Mechi hiyo Suarez aliomba radhi na Klabu ya Liverpool ilimpiga Faini.
Baada ya FA kupata Ripoti ya Refa Friend, ambae alikiri kutoliona tukio hilo, njia ikawa wazi kwa FA kumfungulia Mashitaka Suarez ambae alikiri Kosa lakini aliomba Adhabu yake ibakie Kifungo cha Mechi 3.
Ikitoa Adhabu hiyo, Jopo Huru la FA lilikubali Kifungo cha kawaida cha Mechi 3 kwa Kosa la kuleta vurugu na kuongeza Mechi nyingine 7 kwa kuzingatia uzito wa kosa lenyewe la kinyama.
Adhabu hiyo inaanza mara moja ikimaanisha Suarez atazikosa Mechi zote 4 Liverpool ilizobakisha kwa Msimu huu pamoja na Mechi zao 6 za kwanza za Msimu mpya wa 2013/14 utakaoanza Mwezi Agosti.
Suarez amepewa hadi Ijumaa hii Saa 9 Mchana, Bongo Taimu, kukata Rufaa ikiwa hakuridhika na Adhabu.
I'm back: Luis Suarez returned to training today while the FA deliberated over his punishment for biting
Nimerudi: Luis Suarez akiwa mazoezini leo hii baada ya FC kumfungia mechi 10
Bite club: Suarez sunk his teeth into Branislav Ivanovic during the Premier League match at Anfield
 Suarez akizamisha meno yake katika mkono wa beki wa Chelsea Branislav Ivanovic wakati wa mechi yao ya ligi kuu uwanjani Anfield.
tasty: The bizarre clash was missed by referee Kevin Friend, who had to be told the specifics by Ivanovic
Mwamuzi wa mchezo huo Kevin Friend akiambiwa na Ivanovic kwamba Suarez kaning`ata 
tasty: The bizarre clash was missed by referee Kevin Friend, who had to be told the specifics by Ivanovic
Ivanovic akiwa amkeaa chini kuugulia maumizi ya kung`ata na Surezi.
VIFUNGO VIREFU TOKA FA:
-MIEZI 9: Mchezaji wa Manchester United Eric Cantona kwa kumpiga Mshabiki Mwaka 1995
-MIEZI 9: Kipa wa Chelsea Mark Bosnich kwa kugundulika kutumia Kokeni Mwaka 2003
-MIEZI 8: Rio Ferdinand wa Manchester United kwa kukosa kupimwa utumiaji Madawa yanayokatazwa hapo Mwaka 2003
-MECHI 12: Joey Barton wa QPR kwa kuleta vurugu kwenye Mechi na Man City Mwaka 2012.
-MECHI 11: Paolo Di Canio alipokuwa Sheffield Wednesday kwa kumsukuma Refa Paul Alcock Mwaka 1998
-MECHI 10: David Prutton wa Southampton kwa kumsukuma Refa Alan Wiley Mwaka 2005
-MECHI 10: Luis Suarez kwa kumuuma Branislav Ivanovic Mwaka 2013
-MECHI 9: Paul Davis wa Arsenal kwa kumpiga ngumi Glenn Cockerill wa Southampton Mwaka 1988 na kumvunja taya.
-MECHI 8: Luis Suarez kwa kumkashifu Kibaguzi Patrice Evra Mwaka 2011
-MECHI 8: Ben Thatcher wa Man City kwa kumpiga kipepsi Pedro Mendes wa
Portsmouth Mwaka 2006.
-MECHI 5: Roy Keane wa Man United kwa kuandika maneno yasiyokubalika kwenye Kitabu chake hapo Mwaka 2002

Sunday, April 21, 2013

MKWAWA YAiFUNIKA TUMAINI KWENYE MASHINDANO YA GRAND MALTA

 
 Chuo cha Tumaini kikichuana na Chuo cha Mkwawa ambapo Tumaini ilifungwa set 3 kwa 1

                                Timu ya wasichana ya mpira wa pete ya Mkwawa (nyekundu) ikichuana na timu ya chuo cha Tumaini katika tamasha la Grand Malta na kufanikiwa kuifunga 23 kwa 18

                                  KISHA IKAWADIA ZAMU YA BURUDANI YA MUZIKI


                                          Dj Choka akiwa katika pozi na aliyekuwa waziri wa michezo na burudani wa chuo kikuu cha Iringa Lazaro Mlyuka


                                  Baadhi ya mashabiki wakiwa wanamshabikia Joh Makini baada ya kupanda stejini.

WAMILIKI WA DALADALA BADO WANAMAKA HAWAJARIDHIKA NA NAULI KUPANDISWA

WALALAMIKA NAULI HAZITOSHI: WANADAI INABIDI ZIONGEZWE,

d
WAKATI wananchi wakilalamika kupanda kwa nauli kuwa kumeongeza ugumu wa maisha, Mwenyekiti wa Chama cha wamiliki wa Daladala, Sabri Mabrouk amesema bado nauli hiyo ni kiduchu.
Mabrouk aliyasema hayo jijini Dar es Salaam jana, kuwa wananchi wanapaswa kutambuwa kuwa ugumu wa maisha haukuanza leo.
 Alisema hali hiyo haikusababishwa na kupanda kwa nauli bali ulikuwepo tangu utawala wa awamu ya kwanza na utaendelea kuwepo katika tawala mbalimbali zitakazokuja.
 “Kwa watu tulioishi katika maisha ya ugumu ugumu ni kisema hivyo wananielewa lakini najua wapo ambao wamenufaika kutokana na kuwa na jamaa ambao walikuwa viongozi katika serikali hao labda ndio wanaweza kushindwa kujua ugumu wa maisha katika nchi hii.
“pia wananchi wajue kila kitu kizuri kina gharama zake hivyo ili kuboresha huduma zetu za usafiri ni lazima wananchi wakubali kuchangia kile kinachostahili” .”alisema Mbrouk.
 Akizungumzia mfumo wa huduma ya usafirishaji jijini kuwa wa kapuni, Mabrouk, alisema haukwepiki bali ni mhuhimu kwa wamiliki wa daladala kutumia fursa hiyo kujiunga na kuanzisha kampuni.
 Aliwataka wamiliki wenzake kuacha kuwasikiliza baadhi ya watu wanaotaka kuwapotosha kuwa mpango huo haulengi kuwanufaisha wao bali kuna wahusika maalum.
 Mabrouk alisema mfumo huo umewalenga wamiliki wa daladala kwanza, endapo watadharau basi fursa hiyo itakwenda kweli kwa wengine.
 “Kutakuwa na kampuni mbili kwa kuanzia zitakazo simamia huduma hiyo ya usafiri moja yadi yake yakuweka magari itakuwa Jangwani na nyingine itakuwa katika Kituo cha Mabasi yaendayo mikoani na nje ya nchi”alisema Mbrouk.

HATIMAYE DNA AFANYA NGOMA NA MR. NICE(download hapo chini)


Friday, April 19, 2013

Raisi Jakaya Mrisho Kikwete amzika Bi Kidude

Rais Dk. Jakaya Kikwete (wa pili kulia) Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, (kulia) Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar Maalim Seif Sharif (wa pili kushoto) na Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi, wakiitikia dua baada ya maziko ya msanii maarufu Fatma Binti Baraka (Bi Kidude) aliyefariki Aprili 17 na kuzikwa Aprili 18 kijijini kwao Kitumba, Wilaya ya Kati Unguja. Picha chini ni Vijana wakiwa wamembeba Bi Kidude wakimsindikiza kwenye makazi yake mapya na sehemu ya Umati wa watu uliokusanyka kumzika Bi Kidude huko Zanzibar.



Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...