Sunday, April 21, 2013

MKWAWA YAiFUNIKA TUMAINI KWENYE MASHINDANO YA GRAND MALTA

 
 Chuo cha Tumaini kikichuana na Chuo cha Mkwawa ambapo Tumaini ilifungwa set 3 kwa 1

                                Timu ya wasichana ya mpira wa pete ya Mkwawa (nyekundu) ikichuana na timu ya chuo cha Tumaini katika tamasha la Grand Malta na kufanikiwa kuifunga 23 kwa 18

                                  KISHA IKAWADIA ZAMU YA BURUDANI YA MUZIKI


                                          Dj Choka akiwa katika pozi na aliyekuwa waziri wa michezo na burudani wa chuo kikuu cha Iringa Lazaro Mlyuka


                                  Baadhi ya mashabiki wakiwa wanamshabikia Joh Makini baada ya kupanda stejini.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...